Mkuu wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Tiro na vitongoji vyake amesema: Mpango wa Marekani wa kuuacha mtupu Ukanda wa Gaza kwa kuwahamisha wakaazi wake hadi nchi jirani ni jaribio la kuunda janga jipya.
Ubelgiji, Ireland, Luxembourg, Malta, Norway, Slovenia na Uhispania zimetangaza kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwamba Sheria za Knesset, ambazo zinakataza shughuli za Unrwest, haziendani…