Mkuu wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Tiro na vitongoji vyake amesema: Mpango wa Marekani wa kuuacha mtupu Ukanda wa Gaza kwa kuwahamisha wakaazi wake hadi nchi jirani ni jaribio la kuunda janga jipya.
Hojjat al-Islam wa al-Muslimin, Sheikh Ali Yassin, Mkuu wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Tyre na vitongoji vyake, sambamba na kusisitiza umuhimu wa kulindwa himaya na uhuru wa Lebanon dhidi ya vitisho…