Baada ya kukaribia Siku ya katikati (nusu) ya Sha'ban, idara ya kudumisha Utaratibu katika Haram ya Imam Hussein (a.s) imetangaza kwamba hatua zote muhimu zimechukuliwa kwa ajili ya sherehe hiyo…
Ayatollah Nouri Hamedani akiashiria mapendekezo ya Imam Khomeini (r.a) kuhusiana na kuamiliana na watu amefafanua kuwa: Watu ndio jambo kuu (ndio asili) na kipaumbele cha kwanza cha viongozi…