Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Kikao chake na Makamanda na kundi la wafanyakazi wa Jeshi la Anga na Jeshi la Ulinzi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza…
Ayatollah Nouri Hamedani akiashiria mapendekezo ya Imam Khomeini (r.a) kuhusiana na kuamiliana na watu amefafanua kuwa: Watu ndio jambo kuu (ndio asili) na kipaumbele cha kwanza cha viongozi…