Mkuu na Wajumbe wa Baraza la Uongozi la Harakati ya Hamas wamekutana na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumamosi hii asubuhi.
Ayatollah Nouri Hamedani akiashiria mapendekezo ya Imam Khomeini (r.a) kuhusiana na kuamiliana na watu amefafanua kuwa: Watu ndio jambo kuu (ndio asili) na kipaumbele cha kwanza cha viongozi…