Saturday 15 March 2025 - 11:05
Ni wajibu kwako kuchunga haki za kila mtu (awe Muislamu au sio Muislamu)

Kuna makundi mawili ya watu: Ama ni ndugu yako katika dini, au anayefanana na wewe katika uumbaji; kwa hali yoyote, unapaswa kuheshimu haki zao.

Shirika la Habari la Hawza - Imamu Ali (a.s) amesema:

«... فَإِنَّهُمْ صِنْفَانِ: إِمَّا أَخٌ لَكَ فِي الدِّينِ وَ إِمَّا نَظِيرٌ لَكَ فِي الْخَلْقِ.»

Kuna makundi mawili ya watu: Ama ni ndugu yako katika dini, au anayefanana na wewe katika uumbaji; kwa hali yoyote, unapaswa kuheshimu haki zao.

Nahaj al-Balagha, barua ya 53

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha