Wednesday 26 February 2025 - 13:31
Sherehe za kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani zimefanyika Hyderabad, India  

Hawza / Jumuiya ya Ulamaa na Makhatibu wa Hyderabad, India lilifanya sherehe kubwa ya kuukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Kulingana na kundi la Tarjama la Shirika la Habari la Hawza, sherehe kubwa imefanywa na Baraza la Ulamaa na Makhatibu la Hyderabad, India, katika kukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

Sherehe hii ambayo imefanyika kwa anuani ya “Kuikaribisha Ramadhan na Mkutano Mkuu wa Baraza” iliundwa kwa lengo la kutafakari kwa pamoja juu ya umuhimu wa Mwezi huu Mtukufu na kuchunguza masuala mbalimbali ya jamii ya Kiislamu.

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha