Monday 3 March 2025 - 09:50
Weka mambo yako katika mkondo wa haki

Hakuacha haki mwenye izza (heshima) isipokuwa alidhalilishwa, na dhalili hakuchukua haki isipokuwa alipata izza (heshima).

Shirika la Habari la Hawza - Imamu Hassan Askary (a.s) amesema:

«ما تَرَكَ الحّقَ عَزيزٌ إلاّ ذَلَّ وَ لا أَخَـذَ بِهِ ذَليلٌ إلاّ عَـزَّ.»

"Hakuacha haki mwenye izza (heshima) isipokuwa alidhalilishwa, na dhalili hakuchukua haki isipokuwa alipata izza (heshima)."

Tuhaf al-Uqul, Jz, 1 uk 489

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha